Thursday, July 19, 2012


Wakati huo huo Kikao Maalum Chafanyika 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali alipofika katika Ofisi za Shirika la Bandari, Malindi Unguja kupata taarifa sahihi ya ajali ya kuzama kwa Meli ya MV Sky Get ikitokea Dar es Salaam kuelekea Unguja
.[Picha na Ramadhan Othman,IKulu.]


Breaking News

Meli yazama Zanzibar na Hali ilivyo kwa sasa


Daktari akitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi/wahanga wa ajali ya meli iliyozama mara baada ya kuokolewa 







Thursday, May 17, 2012


BREAKING NEWS

SIMBA YAPOTEZA KIUNGO WAKE




MCHEZAJI Patrick Mafisango wa timu ya Simba ya Dar es Salaam amefariki dunia leo kwa ajali ya gari katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam. Taarifa ambazo zimetolewa kutoka Klabu ya Simba zimesema Mafisango amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali ya gari maeneo ya Tazara. Mtandao huu utawaletea taarifa zaidi za tukio hilo muda mfupi baadaye. Mtandao huu pia unatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na klabu nzima ya Simba kwa pigo hilo.

Monday, May 14, 2012

Manchester City Watwaa Ubingwa Ligi Ya England










Thursday, May 10, 2012

Manchester United's new kit 'looks like a tea towel', say horrified fans

Copy right: Emmanuel Diah

Tuesday, May 8, 2012

Man United’s Young Star Pogba Agree Juve Deal 

Pogba

·         EXCLUSIVE: The French teenager has long been linked with a switch to the newly-crowned Serie A champions, and is set to exit Old Trafford and put pen to paper on a four-year deal with the Italians
Source :goal.com
Kagawa – Kifaa kinachomuumiza akili Mzee Ferguson


Copy right: Emmanuel Diah
KIKWETE SACKS SIX CORRUPT CABINET MINISTERS



Mustafa Mkulo who until 4th of May, 2012 was Tanzania's Finance Minister, paid the price for graft allegations in the country.


Tanzanian President Jakaya Kikwete has sacked six of his senior cabinet ministers amid allegations that they were involved in corrupt activities. In an unprecedented move, Mr Kikwete who is just beginning his second and last term of office surprised many of his contemporaries when he gave marching orders to Mustapha Mkulo who has been the country’s Finance Minister.

Energy and Minerals Minister William Ngeleja, Tourism Minister Ezekiel Maige, Industry and Trade Minister Cyril Chami, Transport Minister Omari Nundu and Health Minister Haji Mponda followed suit. Sacking senior cabinet ministers in Africa is almost unheard of. In neighbouring Uganda, calls to President Yoweri Museveni to sack senior cabinet ministers who have been drugged screaming before courts of law and censored by parliament have gone unanswered.

In a cabinet reshuffle that not only surprised the country’s opposition but also his own contemporaries, Mr Kikwete said from now on, the accountability of his ministers would be taken seriously. “It is not enough for a minister to take responsibility alone but the new approach is that even those who caused mishap will be taken to task as well.

Commenting on the sacking, Sarah Hermitage, a British human right activist who together with her husband lost their farm to corrupt Tanzanian businessmen, dismissed President Kikwete’s action charging that during his time in office, Tanzania had become more corrupt. “Anyone with an ear to the ground in Tanzania cannot fail to hear the rumblings of dissent amidst the young, intelligent and educated Tanzanians who are simply sick of the increasing misuse of public funds and Kikwete’s refusal to deal with corruption,” she told The London Evening Post.”

Hermitage said one ought to remember that Kikwete himself has in the past been at the centre of corruption charges. In allegations made by the whistle-blower site WikiLeaks, a US diplomatic cable alleged President Kikwete had accepted bribes from a Dubai-based investor. But Benson Bana, head of the University of Dar es Salaam political research think-tank said: “The president has been responsive. He has listened to members of parliament and to the voice of the people. He has done wonderfully.” Bana went on to add: “The ministers were sacked due to a lack of accountability. The ministers failed to deliver and some were accused of mismanaging the ministries … the president have responded positively.”

John Mnyika, publicity director of Tanzania’s main opposition party, the Chama Cha Demokrasia na Maendeleo warned President Kikwete against simply reshuffling the cabinet. He urged him to take legal measures against ministers implicated in graft practices. There was little hope, Ms Hermitage opined, that Tanzania’s young, dynamic and deserving youth would see any improvement in the country’s governance in the foreseeable future.

Tanzania is a hot prospect for oil and gas exploration by international firms. Like its neighbour Mozambique, large deposits of natural gas have been discovered offshore. The East African country has extensive mining interests, including gold, coal and iron ore which have also attracted large foreign investors. Businesses have long complained graft is one of the main reasons for the high cost of doing business in Tanzania.


source: http://www.thelondoneveningpost.com/africa/kikwete-sacks-six-corrupt-cabinet-ministers/

Monday, May 7, 2012



breaking news


MKAPA APANDISHWA KIZIMBANI 


Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, leo amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhojiwa na mawakili wa serikali na wanaomtetea aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy, Costa Mahalu, kwenye kesi ya ufujaji fedha katika ununuzi wa jengo la ubalozi inayomkabili balozi huyo.

Jengo hilo lilinunuliwa kwa shilingi, bilioni 2.9.



Mkapa akiingia Mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.




Four African leaders to join food security talks at G8 summit

By Faith Karimi, CNN
May 4, 2012 -- Updated 1149 GMT (1949 HKT)


President Jakaya Mrisho Kikwete (President of Tanzania ) , Meles Zenawi, the Prime Minister of Ethiopia, is among the four African leaders to attend the G8 summit
STORY HIGHLIGHTS
·        Leaders of Benin, Ghana, Tanzania and Ethiopia will attend the talks
·     The summit comes amid fears of famine and drought in some parts of Africa
·                                 Obama hosts the meeting between May 18-19 in Camp David
(CNN) -- President Barack Obama has invited four African leaders to join food security talks at the annual G8 summit this month.
Presidents Yayi Boni of Benin, John Mills of Ghana and Jakaya Kikwete of Tanzania, and Prime Minister Meles Zenawi of Ethiopia will attend the summit at the presidential retreat in Camp David.
They will join Obama and other leaders of G8 member nations for a session on food security in Africa, the White House said in a statement.
G8 -- or Group of Eight -- comprises Canada, France, Germany, Italy, Japan, Russia, the United Kingdom, and the United States.
The summit planned for May 18-19 comes amid fears of famine and drought in some parts of Africa.
Somalia, Ethiopia and Kenya battled drought last year, and aid groups have warned that several other nations are at risk of a hunger crisis.
"A combination of drought, poverty, high grain prices, environmental degradation and chronic under-development is affecting Burkina Faso, Mali, Mauritania, Niger, Senegal, Chad, northern Cameroon and Nigeria," the United Nations said this year. "More than 10 million people are struggling to get enough to eat, including 5.4 million in Niger."
The food and nutrition insecurity threatens the fragile development the region has made, according to Valerie Amos, the U.N. aid chief.



Wednesday, May 2, 2012




LETS HELPS SAJUKI 

Sajuki is one of the great actors in Tanzania. He married Wastara after she had a terrible accident which left her with one leg. Now,Wastara has a new born baby,and her husband Sajuki is very ill! This family needs our HELP now!

 When married her,they were the happiest couple...Love with no bounds

 But now she needs our assistancy to support Sajuki's medical bills and her baby

This is how Sajuki is,at the moment. He is in need of medical attention,which is expensive(25 million Tshs= almost 20,000 USD) . He is required to go to India for treatement, (a tumor in his stomach) and he can not afford the journey and medical bills. Please let's assist by sending any amount here: 
AKIBA  BANK AC No. 050000003047,WASTARA JUMA or
MPESA::0762189592
sOURCE

Mjue Kiongozi wa Kitambi Noma ( Arusha ) 
Bw. Charles Makwaia



Copy right: Emmanuel Diah

Tuesday, March 27, 2012

Fergie admits: It was penalty

Michael Carrick
WHO, ME? ... Michael Carrick protests his innocence - but not even Fergie was convinced

WAYNE ROONEY'S winner lifted Manchester United back to the top of the table — but even boss Alex Ferguson admitted they got lucky.

Fulham should have been awarded a late penalty when Michael Carrick fouled sub Danny Murphy.
Boss Alex Ferguson said: "Yes, Michael tapped their player's heel and they had a good claim.
"The ref was lenient also in the first half when we should have had a penalty for handball. Maybe the ref was thinking about that."
Fulham boss Martin Jol said: "We expected a penalty to be given but it takes a very brave referee to give one against United at Old Trafford. This isn't the first time, especially not for me.
SPOT OF LUCK ... Fergie admits his men were let off the hook
"Everyone in the stadium expected a penalty and the ref would have had to send Carrick off.
"We could have shocked them, they looked very nervous."
Ferguson admitted: "Fulham finished the game very strongly and caught us out on the counter-attack
.

Thursday, March 22, 2012



TANZANIA DAILY NEWS, 21 MARCH 2012
DESPITE increased awareness, law enforcement and the use of mobile phones in curbing harmful methods of fishing, the lack of support from leaders hampers the campaign against Officials in the Department of Fisheries and Marine Resources under the Ministry of Livestock and Fisheries say that though there are noticeable achievements in reducing illegal fishing done by foreign vessels, the use of undesirable methods of fishing by Zanzibaris themselves remains a challenge.
Mr Haji Shomari, head of the patrol team for anti-illegal fishing, says the most common illegal fishing methods include the use of small mashed nets and traps, Beach seine, spear guns, chemicals from plants locally known as utupa and fishing without a license."The problem of illegal fishing especially the use of wrong sized nets and spear guns were pointed out at Chwaka Bay a conservation area, Pete inlet in Menai conservation area, Bungi village, Bumbwini patch, and smaller islands made of stone," Shomari told Daily News.


Shomari said that the destructive fishing methods are a big challenge and there is a shortage of patrol equipment. The team lacks modern patrol boats, support from leaders and other institutions. Under funding is the biggest challenge. "The operational cost of running the patrol each day is between 200,000/= to 400,000/=. We have four boats but need five extra boats," Shomari said.
The director of the Department of Fisheries and Marine Resources, Mr Mussa Aboud Jumbe, says multiple measures have been taken to fight illegal fishing including public awareness, distribution of correct fishing gear and boats to fishermen and the enforcement of the marine laws.
Mr Jumbe says combating illegal fishing can only be achieved if leaders work together to support the programme by talking to people about the dangers of illegal fishing."We distribute environmentally friendly fishing equipment and we have minimized harmful fishing practices in many areas. Unfortunately there are some stubborn people who refuse to change and have the backing of some leaders," Mussa says.
Opening a one-day stakeholders meeting under the theme "The escalating illegal fishing" the speaker of the Zanzibar House of Representatives Mr Pandu Ameir Kificho said "Some leaders who own fishing boats are reluctant to stand firm against illegal fishing. But we should all know that prohibiting illegal fishing is of national interest."
He added, in his speech that "the attractive price for fish and concerted fishing are to blame for harmful fishing methods."Ms Asha Mohamed Ahmed- legal advisor of the ministry, said that some of the 34,000 fishers are ruining the environment by using illegal fishing.
Under the fisheries Act of 2010, it is against the law to use prohibited gear. The use of illegal fishing equipment destroys coral reefs and kills immature fish."Last year we had 16 cases of illegal fishing. Some cases were dismissed as a result of interference. We ask leaders to fully cooperate in fighting illegal fishing," Shomari, the head of the Patrol unit said.
Chairpersons of community fishing committees have been given mobile phones to help report any incident of illegal fishing in their areas. "It is an achievement and now fishermen are aware that we receive reports over the mobile phone. Shomari says.The Ministry has come up with a new push for the implementation and enforcement of fishing laws. The Department is lobbying for more funds and is planning for better surveillance.
The minister of Livestock and Fisheries Mr Said Ali Mbarouk has appealed to Zanzibaris for increased co-operation in stopping illegal fishing and in stopping fishermen from abroad from fishing in Zanzibar waters. Unidentified illegal fishing vessels have been spotted over the past years.
Despite making arrests, Zanzibar sea patrol authorities are struggling hard to keep out foreign vessels, allegedly equipped with modern technology including satellite positioning systems, and radars. The minister said "Traditionally fishing is a way of life for most people on the Isles. Agriculture is hardly practiced and fishing is the means by which people survive."
Minister pointed out, "Illegal fishing is a global phenomenon that affects developing countries such as Zanzibar. It is really harmful for our national economy and environment."Zanzibar not only faces problems in its distant waters which are difficult to patrol, but also in its traditional intense competition for fish among small scale fishers resulting in declining catch, and the over-exploitation of the resources. The need for fishermen to catch fish in order to survive is compelling many small scale fishermen to resort to illegal fishing practices.

Authorities are concerned that many are still violating fishing laws.

Monday, March 5, 2012

Wednesday, February 22, 2012

EAC Secretary General Amb. Dr. Richard Sezibera (centre) speaks during the launch ceremony at the EAC Secretariat headquarters in arusha. To 
his left is Microsoft’s Dr. Mark 
Matunga. Right is EAC’s Principal Public Relations Officer Mr. Richard Owora Othieno. 



East African Community
PRESS RELEASE
SECRETARY GENERAL LAUNCHES MICROSOFT OFFICE 2010 KISWAHILI LOCAL LANGUAGE PACK
Urges Microsoft to work with governments in the region to increase investments
East African Community Secretariat, Arusha, 22 February 2012: The Secretary General of the East African Community Amb. Dr. Richard Sezibera this morning launched the Microsoft Office 2010 Kiswahili Local Language Pack, urging the Information Technology firm to work with governments in the region to increase investments in projects that will enhance the bloc’s economic growth.

At the ceremony held at the EAC headquarters in Arusha, Tanzania, Amb. Sezibera described the occasion as “yet another milestone in the Information and Communications Technology (ICT) sector” and hailed Microsoft for taking a leading role in facilitating adoption of ICT and the general economic development of the East African Community.

The Secretary General commended Microsoft for recognizing the importance of Kiswahili language in communication and said “both Windows 7 and Office 2010 translations will go a long way in spurring growth of Kiswahili as a mode of communication in education, science and technology as well as government services”.

He affirmed that translating the Microsoft Office 2010 into a language that is familiar to the local citizens is a boost to regional development as more computer users will now participate in development discussions resulting in improving the effective delivery of public services for citizens; enhancing national and regional capacity to formulate and implement ICT policies; developing public sector-oriented ICT solutions as well as enhancing the use of technology to promote good governance and poverty reduction in the region.

The Secretary General disclosed that the ICT sector had driven up to 40% of economic growth in East Africa in the past 10 years and most of that growth had been in large companies. He noted that the next phase could be led by Small and Medium Enterprises (SMEs), as long as the necessary and targeted policy interventions were made.

The Secretary General said there was urgent need for change, not only to maintain existing levels of education and training in the population, but also to develop the new skills and competences required if East Africa is to remain competitive and grasp new opportunities. He added that the region acknowledges ICT as a driver of economic growth although literacy levels were influencing its use.

“The development of the information society and the wide-spread diffusion of Information and Communication Technology (ICT) give rise to new digital skills and competences that are necessary for employment, education and training, self-development and participation in society,” noted Amb. Sezibera.

Speaking at the launch, Microsoft’s Citizenship and Regional Education Manager for East and Southern Africa Dr. Mark Matunga said: “We believe technology has an increasingly important role to play in the maintenance of linguistic diversity, not only to promote mutual understanding and dialogue, but also to strengthen local economies.
“All too often communities are excluded from IT skills fluency, and the accompanying job opportunities, for lack of technology in their local language.  Providing technology in a native language is critical to helping people access the tools they need to create better economic opportunities,Dr. Matunga said.
Notes to Editors

The launch of the Microsoft Office 2010 Kiswahili Local Language Pack comes after the launch of the
Windows 7 Kiswahili Local Language Pack in Dar-es- Salaam in May last year by His Excellency President Jakaya Mrisho Kikwete. The availability of Office 2010 in Kiswahili will enable over 50 million speakers in East Africa and Central Africa to participate effectively in economic development through ICT.
With over 5 million native speakers and more than 50 million Africans speaking Kiswahili on a daily basis, Kiswahili is undoubtedly the most widely understood language in Africa after Arabic. The availability of Microsoft Office 2010 in Kiswahili is a remarkable step towards elimination of language as a barrier to technology access.

For more information please contact: Owora Richard Othieno, Head of Department; Corporate Communications and Public Affairs; Tel: 255-768-835021; Email: othieno@eachq.org
Corporate Communications and Public Affairs Department
EAC Secretariat
Arusha, Tanzania


Friday, January 20, 2012

India's Republic Day parade



The 62nd Republic Day Celebrations Flag Hoisting Ceremony in New Delhi, India. Similar parades are held in the capitals of all the states of India, where the governors of respective states take the salute.




Indian soldiers train on stunt motorcycles in preparation for an upcoming Republic Day parade in New Delhi, India,Friday, Jan. 13, 2012. India marks Republic Day on Jan. 26, 2012.  (AP Photo/Kevin Fra

Indian soldiers train on stunt motorcycles in preparation for an upcoming Republic Day parade in New Delhi, India, Thursday, Jan. 12, 2012. (AP Photo/Kevin Frayer)

Thursday, January 19, 2012


KITAMBI NOMA FC




MTOTO WA LIYUMBA JELA MAISHA


Morine Amatus.
Madawa ya kulevya yaliyokamatwa.
Amatus Liyumba.
Watuhumiwa waliokutwa na madawa hayo yenye thamani ya shilingi Bilioni 9.4.


Makongoro oging’ na Issa Mnally
BAADHI ya wanasheria wamesema  watu wanne akiwemo Morine Amatus (22), anayetajwa kuwa ni mtoto wa Amatus Liyumba, waliokamatwa na  Jeshi  la Polisi mkoani Lindi wakishirikiana na Askari wa Kikosi cha Kupambana na Kuzuia Madawa ya Kulevya kutoka jijini Dar es Salaam, wakipatikana na hatia wanaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha.
Watuhumiwa hao walikamatwa wakiwa na jumla ya kilo 210 za madawa aina ya Heroine, yenye thamani ya shilingi Bilioni 9.4.
Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa ambaye pia ni mwanasheria, aliliambia gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita ofisini kwake kuwa iwapo watu hao watapatikana na hatia, hukumu yao itakuwa ni kifungo cha maisha jela.
“Miaka ya hivi karibuni huko Mtwara kuna watu walipatikana na madawa ya kulevya na kuhukumiwa kifungo cha maisha ambacho wanakitumikia,” alisema Kamanda Nzowa.
Mkuu huyo alifafanua kuwa kutokana na wingi wa madawa waliyokamatwa nayo, kesi hiyo itabidi isikilizwe na Mahakama Kuu ya Tanzania.
“Upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani. Japokuwa tutawapeleka Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi, pale kesi yao itatajwa tu, lakini itakapoanza kusikilizwa itakuwa mahakama kuu,” alibainisha Nzowa.

WANASHERIA WANASEMAJE?
Matamshi hayo yaliungwa mkono na wakili maarufu nchini, Mabere Marando na Mwanasheria, Dk. Ngali Maita ambao kwa nyakati tofauti walisema adhabu ya kukutwa na madawa ya kulevya mengi kiasi hicho, huwa ni kifungo cha maisha.
“Unajua hukumu za kukutwa na madawa ya kulevya hutegemea, mara nyingi huwa ni kifungo cha miaka mingi, kuanzia miaka 20, 30 au maisha,” alisema Marando huku mwenzake, Dk. Ngali akiongeza kuwa anayepatikana na kilo 210 anahukumiwa kifungo cha maisha.
Watuhumiwa wengine waliokamatwa pamoja na Morine katika Kijiji cha Mchinga Mbili, Lindi kwa mujibu wa Nzowa ni mwenye nyumba yalipokutwa madawa hayo, Pendo Mohamed Cheusi (67), mkazi na mkulima wa kijiji hicho na Hemedi Said (27), dereva na mkazi wa Mtoni, jijini Dar es Salaam ambaye pia ni mtoto wa mwenye nyumba hiyo.
Aliwataja watuhumiwa wengine kuwa ni  Ismaili Adamu, kwa jina lingine Athuman Mohamed Nyaubi (28), mfanyabiashara wa magari nchini Afrika Kusini na mkazi wa Moroco jijini Dar es Salaam.
Morine Amatus ni mkazi wa Mikocheni ‘B’ jijini Dar es Salaam na baba yake alikuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Baba yake huyo alifungwa miaka miwili, Mei 24, 2010 kwa makosa ya kutumia vibaya ofisi ya umma.

 NZOWA KUDODOSWA
Alipododoswa zaidi Kamanda Nzowa, alisema kuwa wahalifu wengi wa madawa ya kulevya wanadhani sehemu salama ya kufanyia biashara hiyo haramu ni nje ya Dar es Salaam.
“Niwatahadharishe wale wote wanaofanya au kufikiria kufanya biashara hiyo kwamba waache kwa sababu polisi kwa kushirikiana na raia wema tumejipanga. Maeneo yote siku hizi tunayalinda, watakaojiingiza katika biashara hiyo haramu, watakamatwa tu,” alionya Nzowa.
“Nitazungumzia day one tu (siku ya kwanza). Tuliwakamata usiku baada ya kuwazingira katika nyumba ya Bi. Pendo Cheusi. Tukawakuta na madawa yakiwa yamehifadhiwa ndani ya madumu yapatayo nane yaliyokuwa na ujazo wa lita 60 kila moja, tayari kusafirishwa kupelekwa nje ya nchi,” alisema.
Alibainisha kuwa tayari madawa hayo yamesafirishwa kuletwa jijini Dar es Salaam, ili yapelekwe kwa mkemia mkuu wa serikali kwa ajili ya kuyapima, sanjari na kuyatunza wakati kesi ya watuhumiwa hao itakapokuwa ikiendelea.
Kamanda Nzowa amewashukuru  wote waliofanikisha kutoa taarifa ya kuwepo kwa madawa hayo, na kuongeza kuwa hiyo ni mara ya kwanza kwa Mkoa wa Lindi kukamata madawa mengi kiasi hicho.
Akawaomba wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola kutoa taarifa pale wanapobaini kuwepo kwa vitendo ambavyo vinakwenda kinyume na maadili ya nchi.

UCHUNGUZI WETU
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umegundua kuwa watuhumiwa hao walikuwa wakifuatiliwa na polisi tangu walipokuwa wakitoka jijini Dar es Salaam, wakitumia boti iendayo kasi iliyokuwa ikipepea bendera ya nchi moja ya nje (jina tunalihifadhi).
Mwandishi wetu aliambiwa na baadhi ya wanakijiji wa Mchinga Mbili walioomba majina yao kutoandikwa gazetini, kuwa Hemedi alikuwa akifika kijijini hapo na rafiki zake mara kwa mara wakitumia magari tofauti ya kifahari.
Uchunguzi zaidi umebaini kuwa watuhumiwa hao walifikia hoteli moja ya kifahari ya mjini Lindi ambayo pango lake kwa siku moja ni shilingi 150,000 bila chakula na vinywaji.
Habari za kipolisi zinasema mzee Amatus Liyumba, baba wa Morine naye atachunguzwa kutokana na mtoto wake kukumbwa na sakata hilo. Hata hivyo, hakuna kiongozi wa polisi aliyekuwa tayari kuthibitisha hilo kwa madai kuwa uchunguzi wao hufanywa kwa siri kubwa. 



source http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/mtoto-wa-liyumba-jela-maisha